MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

MANCINI HAONDOKI MAN CITY


Patrick Viera amesema anataka kocha wa Manchester City, Roberto Mancini kusalia katika klabu hiyo, ili kuiongoza kushinda medali zaidi.
Mancini alisaini mkataba mpya na klabu hiyo mwezi Julai mwaka huu, baada ya kuiongoza kushinda kombe la ligi kuu ya Premier msimu uliopita, lakini katika siku za hivi karibuni kumekuwa na fununu kuhusu hatma ya kocha huyo.
Vieira, ambaye ni afisa mkuu anayehusika na masuala ya uendelevu wa soka katika klabu hiyo, amesema Mancini, alisaini mkataba wa miaka mitano na hiyo ni ishara kuwa ana imani na klabu ya Manchester City.

Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment