MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

KENYA YAZINDUA TRENI MWENDO KASI


Shirika la reli nchini Kenya limezindua treni mpya ambayo ina mwendo wa kasi ili kutoa huduma kwa wakaazi wa viungani mwa mji wa Nairobi.
Ni treni ya kwanza ya aina yake kuzinduliwa tangu Kenya kujipatia uhuru mwaka 1963.
Treni hiyo itatoa usafiri kati ya mji mkuu na mtaa wa Syokimau na viunga vyake, viungani mwa Nairobi ambako serikali imejenga kituo cha treni ambacho ni cha kwanza kukamilishwa chini ya mradi wa ukarabati wa mfumo wa reli ambao unafanyika kwa mara ya kwanza kwa miaka 80.

Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment