MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

SHUGHLI ZA UOKOZI ZASITISHWA NCHINI GHANA

Juhudi za uokozi katika jengo la ghorofa lililoporomoka wiki jana nchini Ghana zimesitishwa.
Kwa mujibu wa maafisa waliokuwa wanasimamia shughuli hiyo, mjini Accra, idadi ya watu waliofariki imefika 14, wala sio kumi na nane kama ilivyoripotiwa hapo awali huku watu wnegine 67 wakinusurika.
Ujenzi mbovu umelaumiwa kwa kuanguka kwa jengo hilo lenye maduka na amblo lilifungua rasmi mapema mwaka huu.
Mmiliki wa jengo hilo, pamoja na afisaa anayesimamia ubora wa majengo, wamezuiliwa.
Rais John Dramani Mahama, alisema kuwa wale waliohusika na kupuuza usalama na ubora wa jengo hilo lazima watachukuliwa hatua kali.


Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment