MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

POLISI WAZUIYA MAANDAMANO NCHINI UGANDA


Polisi nchini Uganda wamewazuia wanaharakati wa kupinga ufisadi kufanya maandano katika barabara za mji mkuu wa nchi hiyo, Kampala.
Karibu wanaharakati 300 waliokuwa wamevalia nguo nyeusi walilazimika kukatiza maandamano yao baada ya polisi waliojihami kwa silaha kuziba barabara zote.
maandamano hayo yamefanyika kufuatia ufichuzi katika vyombo vya habari kuhusu visa kadhaa vya ufisadi ikiwemo madia kwamba zaidi ya dola milioni 15 za misaada ya kigeni zimeishia mifukoni mwa wakuu fulani serikalini.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment