MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

              WABUNGE MAFISADI KUCHUKULIWA HATUA KALI

Bunge limeanda kanuni za maadili ili kudhibiti wabunge ambao wanatumia
Mianya ya kanuni zilizopo kufanya makosa mbalimbali ikiwemo
Kujishuusisha na vitendo vya rushwa.
Maneno hayo yametolewa mjini Dodoma na kuthibitishwa na mkurugenzi
Wa Idara ya shughuli za Bunge , Bw John Joel zinaeleza kwamba hatua
Hiyo ya bunge inatokana na wabunge kutumiwa kwa makosa ya mbalimbali
Wanayoyafanya kama vile kutoa rushwa
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment