MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG


                                  BUNGE LA LIBYA LAVAMIWA

Wanamgambo waliojihami kwa bunduki, wamekalia bunge la Libya,
kuelezea masikitiko yao kuhusiana na jinsi serikali mpya ya nchi hiyo ilivyoundwa.
Wanamgambo hao wanataka baadhi ya mawaziri kuondolewa, kwa sababu
wanatuhumiwa kuwa na uhusiano na rais wa zamani wa nchi hiyo Muammar Gaddafi.
Malori kadhaa, yakiwa yamesheheni silaha za kutungulia ndege zimejipanga nje ya
bunge la nchi hiyo.
Libya iliandaa uchaguzi wa amani mwezi Julai mwaka huu, na wanasiasa wa nchi hiyo waliafikiana kuhusu jinsi ya kubuni serikali mpya siku ya Jumatano.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment