MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

MKUTANO WAMALIZIKA KUJADILI HATMA YA DRC
Viongozi wa Afrika wamewasihi wapiganaji mashariki mwa Jamhuri ya Demokrasi ya Congo kuacha mashambulio.
Mwisho wa mkutano wao mjini Kampala, Uganda, viongozi hao wamewataka wapiganaji wa kundi la M23 waondoke kutoka mji wa Goma waliouteka hivi karibuni.
 Viongozi hao piya walimsihi Rais wa Congo, Joseph Kabila, kushughulikia malalamiko ya wapiganaji.
Viongozi wane walihudhuria mkutano huo - Rais Paul Kagame wa Rwanda hajakuwepo.
Rwanda inashutumiwa kuwa inawasaidia wapiganaji wa M23 - shutuma inazokanusha.

Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment