MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

VIONGOZI WA AFRIKA MAGHARIBI WAKUTANA


Viongozi wa Afrika Magharibi wanatarajiwa kukutana katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja, kukamilisha mipango ya kuwatuma wanajeshi kaskazini mwa Mali.
 Mazungumzo hayo yatashughulika na mapendekezo ya kutuma wanajeshi elfu kadha kuwaondoa wapiganaji wa Kiislamu, iwapo juhudi za kufanya majadiliano hazitafanikiwa.
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limewasihi viongozi Afrika magharibi kutayarisha mpango huo kufikia mwisho wa mwezi huu.
Mataifa ya Magharibi yamejitolea kutuma vikosi vya kutoa mafunzo kwa majeshi ya Afrika Magharibi.

Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment