MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

WAASI KUENDELEZA MAPIGANO


Wapigani wa waasi nchini jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo, wametishia kuendeleza mapigano hadi mji mkuu wa nchi hiyo Kinshasa, siku chache tu baada ya kuuteka mji wa Goma.
Msemaji wa kundi hilo la waasi wa M23 rLt Col Vianney Kazarama amewaambia watu waliokuwa wamekusanyika mjini Goma kuwa wako tayari kukomba taifa hilo.
 Awali Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha kwa kauli moja azimio linalolaani kutekwa kwa mji wa Goma nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo na waasi wa M23.
Azimio hilo pia linamtaka katibu mkuu wa Umoja huo kuripoti kuhusu madai ya uungwaji mkono wa mataifa ya kigeni kwa makundi ya uasi yaliyoanza harakati zao nchini Congo miezi minane iliyopita.

Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment