MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

WATU 39 WAUAWA TANA RIVER
 Takriban watu 39 wameuawa na wengi kujeruhiwa katika mapigano yaliyozuka upya katika eneo la Tana River, nchini Kenya baada ya wavamizi wasiojulikana kushambulia kijiji cha Kipao alfajiri ya leo.
Polisi wamethibitisha hayo na kusema huenda idadi hiyo ikaongezeka.
Shambulio hilo linadaiwa kutekelezwa na watu kutoka kwa jamii ya Pokomo katika kijiji ch Kipao dhidi ya watu wa Kabila la Ormo.

Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment