MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

RIHANNA KUVAMIWA
Mwanadada Rihanna alitaka kuvamiwa na mtu asiyejulika katika nyumba yake
Mjini Southem California, jamaa huyo alikamatwa mara baada ya majirani
Kutoa taarifa katika kituo cha polisi mjini humo.
Mtuumiwa huyo alieleza polisi kuwa yeye alikuwa anafata maelekezo aliyokuwa
Hakipewa ili aweze kuingia ndani humo, lakini sababu haijajulikana iliyomfanya
Mtu huyo kutaka kuingia katika nyumba ya Rihanna.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment