MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

TUPAC YUHAI
Ni kama wiki mbili tokea Lil Wayne kujiita yeye kuwa ni TUPAC, Lakin senator
Marco Rubio amekubali kuwa Wayn ni tupac mpya mara baada ya msanii huyo
Kujibatiza jina hilo la TUPAC.
Rubio amesibitisha kuwa yeye ni mmoja ya wapenzi wa muziki wa HIP HOP
Nchini Marekani, hayo aliyasema wakati akiwa katika kiwanja cha ndege baada
Ya taarifa ya msani huyo kujiita Tupac mpya.
Rubio amesikika akisema kuwa Tupac bado yupo hai tena anaishi kwa muda
Tofauti tofauti, akaongezea kusema kuwa Tupac alikuwa anawajuza watu kuusu
Mambo yanayoendelea , aliyafanya hayo kupitia Muziki”
Hakuishia hapo tu, alibainisha kuwa anavutiwa na nyimbo zifuatazo , kama vile
Emminem’s” Lose Yourself, na nyimbo ya Tupac, Killuminati”..
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment