MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

GIGGS KUBAKI MAN U, TENA
Aliyekuwa mchezaji wa kikosi cha Man U, Ryan Giggs, amesaini mkataba mpya
Na kikosi chake cha awali Man U.
Gigs mwenye umri wa miaka 39, sasa atasalia katika kikosi hicho kwa msimu wa
Mwaka mmoja ambao ni mpaka mwaka 2014 juni, usajili huo unamfanya kuwa
Amechezea timu hiyo kwa muda wa miaka 23, na kuwa katika idadi ya wachezaji
Wakongwe wa kikosi hicho.
Tukiludi nyuma ni mchezaji aliyeifungia timu hiyo mabao 198 katika michezo
931 tokea mwaka 1991.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment