MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG
LIL WAYNE YUPO ICU.
Msanii wa miyondoko ya Hip Hop, nchini Marekani  amelazwa katika chumba
Cha wangonjwa maututi yani  ICU,  katika Hospitali ya Cadars-sinai Hospital,
Chanzo cha habari kinasema kuwa msanii huyo amelazwa kutokana na kuzidiwa
Mara baada ya kuathirika vibaya kutokana na utumiaji wa madawa ya kulevya,
Madaktari wametumia muda wa dakika 3 kumsafisha tumbo msanii huyo, taarifa
Kutoka hospitali zinasema kuwa bado hali yake si njema ingawa msanii huyo ametuma
Ujumbe kwa wadau wake kuwa yuko salama, na anajiandaa kupanda ndege na kwenda

Young money wakiwa nje ya Hospital wakiwa wanafanya mawasiliano

Los Angeles
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment