MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG
DRAKE KICHWA CHINI
Mmoja kati ya wasanii wanao unda kundi la Young Money, Drake,  alikwenda kumtazama Lil Wayne, kipindi ambacho muda wa kutazama wagonjwa umekwisha.
Msanii huyo alionekana katika maeneo ya Hospitali hiyo akiwa kichwa chini uku akielekea kwenye gari yake, mida ya 8:50 pm,.
Drake hakuweza kuzungumzia chochote kuusu hali ya Lil Wayne, chanzo cha Habari kinasema ingawa hakuweza kumuona kwa muda huo lakini amekuwa ni mtu mwenye kutembelea kila siku.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment