MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG
PAPA KUKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI
Papa Francis, aliyechaguliwa hivi karibuni amekutana na waandishi wa habari mjini Rome akizungumzia kuwa atapenda kanisa masikini lenye lengo la kuwasaidia watu masikini.
Katika hatuba Vatikani imesema kuwa imeonesha uwazi zaidi Papa mpya  alizungumza na mamia ya waandishi wa habari na kusema kuwa alichagua jina la mtakatifu Francis, wa Assisi kwa sababu alikuwa mtakatifu wa amani na matumizi haba na kutumika Masikini.  
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment