MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

MAPOROMOKO YASABABISHA VIFO INDONESIA
 Watu sita wamefariki na wengine 18 hawajulikaniki walipo baada ya ardhi
Kuporomoka katika kisiwa cha Java nchini Indonesia.
Mamia ya polisi , wanajeshi, na umma wamekuwa wakichimba magofu
Wakiwatafuta walionusulika, kama ilivyo desturi nchini humo, mvua
Kubwa ya msimu husababisha maporomoko ya ardhi kila mwaka.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment