MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

NTAGANDA NDANI YA MAHAKAMA YA ICC
Bwana Ntaganda akiwa mahakamani [ICC]
Mshukiwa wa uharifu nchin Congo, bwana Bosco Ntaganda amefikishwa mahakamaa ya  Kimataifa ya makosa ya jinai huko The Hague na kusema kuwa hana hatia yeyote.
Jaji alimkatiza Ntaganda na kumwambia kuwa hakutakiwa kujibu lolote mpaka kesi Inayomkabili kuanzwa kusiklizwa rasmi katika mahaka hiyo.
Ntaganda anashitakiwa kwa makosa ya mauaji, ubakaji na kuwasajili watoto wadogo Kilazima katika jeshi ambalo lilipambana katika vita ya mashariki mwa congo.
Hicho ni kikao cha kwanza kwa mbabe huyo tokea kujisalimisha kwake kwa ubalozi wa  Marekani nchini Rwanda wiki iliyopita siku ya jumatatu.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment