MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

JAY-Z,
KUMVUNJIA HESHIMA MZEE PAUL ANKA.
 Paul Anka ni mwanamuziki mkongwe dunia pia ni mwandishi wa nyimbo
Katika muda wake wote, mzee huyo alisema kuwa Jay-Z amemvunjia
Heshima.
Anka alpoulizwa kuusu albam mpya alifunguka kama ifutavyo  kwa kusema kuwa  amewashilikisha wasanii kama  Vile Willie Nelson, Gloria Estefan na Dolly Parton
Alimzungumzia sana Jigga kwa kitendo cha kumvunjia heshima na kuongezea kuwa yeye ni mtu aliyechangia sana mafanikio ya Jigga lakini kwa kutokuwa na heshima kwa msanii huyo mzee huyo amechukizwa sana.
Wadau wengi wamesema kuwa hakuna wakumvunjia eshima Anka kutokana na heshima yake katika muziki.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment