MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

WANAJESHI WADHULUMU WAKIMBIZI SOMALIA
 SHIRIKA la kutetea haki za Binadamu Human Rights Watch, limesema
Kuwa makundi ya yaliyojihamini nchini Somalia ikiwemo jeshi la serikali
Yamefanya vitendo vya ubakiji, na kuwadhulumu wakimbizii nchini humo.
Ripoti ya shilika hilo inasema kuwa warinzi wa kambi hiyo wamekuwa wakihiba
Na kuwazulumu misada inayokuja kwa matumizi ya wakimbizi nchini humo.
Wanawake wamekuwa wakibakwa na kuzulumiwa misada yao na watu wanao
Aminika kuwa ni wanajeshi  wa serikali na na wengine ni waasi,
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment