RIHANNA
KUZINGUA KATIKA TAMASHA
Rihanna alitakiwa kuonekana katka shule hiyo baada ya ushindi wa Charity cometition, msanii huyo alitakiwa kuoneka kuanzia 1:00 pm, kutokana na
The Chicago Tribune, lakini Rihanna hakufanya hivyo na kutokea kwa muda wa 5:oo pm,.
Rihanna alituma ujumbe kwenye Tweeter wakati akielekea kwenye tamasha hilo mara baada ya kuchelewa kuwa mji wa Chicago Trafic hawafanyi kazi.
Wakati alipofika aliwashukulu wanafunzi wote bila kuwajulisha kilicho mchelewesha katika tamasha hilo,
Wadau wanasema kuwa ni ktokana na ustar wake tu.

0 maoni:
Post a Comment