MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG
WANUFAIKA KWA NYIMBO ZA AALIYAH.
Ni miaka 12 tokea kufariki kwa mwanamuzik Aaliyah, laikini kumekuwa na watu na makampuni
Yanayouza nyimbo zake kinyume na sheria, moja kati ya makampuni hayo limefunguriwa mashtaka
Kuhusu ubadhirifu huo.
Kampuni ya Reservoir Media Management imeshindwa kuifunuria mashitaka kampuni ya Craze Production,  Craze imekuwa ikiuza nyimbo za Aaliyah kutoka katika Double- platinum albums”
Nyimbo za Aaliyah zimekuwa zikitumika katika zaidi ya mamilioni “ iTunes.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment