MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

OSTAZI JUMA, AMRUDISHA JANJARO KUNDINI, HAPA KUNA MAMBO HAYAPO SAWA,

Exclusive: Ostaz Juma amrudisha Janjaro Watanashati baada kuahidi kubadilika, Janjaro asema
Ni siku moja tu tokea kutangazwa kuwa Dogo janja amefukuzwa katika kundi la Watanashati chini ya Ostazi Juma na Musoma, kutokana na sababu za utovu wa nidhamu lakini leo hii Ostaz, ameamua kumrudisha tena kundini Dogo Janja.

Inasemekana kuwa dongo janja, amekubali makosa na kumuakikishia kuwa amebadilika “ nimeamua kumrudisha kwa sababu yale mambo yaliopelekea mpaka mimi  kutoa maamuzi yale niliyoyatoa jana, yani kawa kama mtu mzima mwenyewe akili timamu, na mtu yeyote anayefikiria na akaona kwamba hili ni kosa akasema kwamba ntajirudi, ni kumpa nafasi ya kumsikiliza.

Kwa hiyo jana tulikaa kkikao cha familia nyumbani kwangu, tukazungumza na ni kweli ameona kwamba ni bora aache baadhi ya mambo ambayo hayakuwa mazuri kwenye jamii,, na mimi ninachokitaka  Dogo Janja, awe mtu bora , awe mzuri katika jamii Na yeye ameniahiji kwamba, atawahakikishia  Watanzania kwamba atakuwa Dogo Janja ambaye Watanzania wanamtaka wao. Haya yalikuwa maneno ya Ostazi juma mara baada ya kufanyiwa mahojiano na mtandao wa Times Fm.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment