Msanii wa muziki wa Bongo Fleva,
Shaa, anatarajia kuidondosha nyimbo yake mpya ya Sugua Gaga, mwezi wa kumi na
moja tarehe moja (November 1) mwaka huu.
Shaa
alisaini mkataba wa miezi sita na kampuni ya Said Fella, na hiyo itakuwa ni
wimbo wake wa kwanza tokea kujiunga na kampuni hiyo, Said Fella, amesema kuwa
zamani Shaa nyi mbo zake zilikuwa zinawafikia washua tu lakini sasa hivi
anafanya Ngoma kwa watu wote, wa hali zote.
|
MWERA AMAZING BLOG
- Blogger Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 maoni:
Post a Comment