Msanii wa Hip Hop, nchini, Profesa
Jay, amekanusha kutumbuiza katika show ya Fiesta itakayofanyika hapo kesho
katika viwanja vya Leaders Club, jijini Dar es salaam.
Amefunguka
na kusema kuwa kuna watu walio-hack akaunti yake ya Facebook na Twitter, kasha wakaandika
kuwa ata-perform live katika jukwaa la fiesta.
Hayo
aliyasema mara baada ya mtangazaji wa Times Fm, Gadner G. Habash, kuongea naye
kwa njia ya simu. Nukuu “ dah jamaa wabaya hao, wameshaingilia akaunti yangu” hayo yalikuwa maneno ya Prof J, mara baada ya
muda aliandika tangazo jipya kupitia akaunti hiyo hiyo.
|
MWERA AMAZING BLOG
Home / Uncategories / PROFESA JAY “ SITO-PERFORM KWENYE SHOW YA FIESTA KESHO. MLIO-HACK AKAUNTI YANGU, SIPENDI HAYO MAMBO.
- Blogger Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 maoni:
Post a Comment