MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

MKUTANO WA OBAMA NA NETANYAHU WAVUNJIKA

Ikulu ya Marekani imesema mkutano kati ya Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na Rais Barack Obama wa Marekani umefutwa katika mazingira ya utata.

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu
Imeelezwa kuwa Netanyahu alitakiwa kukutana na me Rais Obama ndani ya mwezi huu.
Msemaji wa Ikulu ya Rais Obama amesema kuwa wameshtushwa na hatua ya Netanyahu kuamua kukatisha ghafla ziara yake na kwamba taarifa hizo wamezisikia kupitia vyombo vya habari.


Amesema kuwa madai ya kwamba mkutano huo umeshindikana kutoka na kukosekana kwa maandalizi si kweli.

KUTOKA BBC SWAHILI
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment