MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG
WEST HAM KUMSAJILI JARVIS.
West ham imeafiki mkataba ambao unakisiwa
Kuhharimu kitita cha pauni milioni kumi nukta
 saba na tano kumsajili mchezaji kiungo wa
Wolverhampton matt Jarvis.

Mkataba huo uliafikiwa na vilabu hivyo siku ya
Jumatano na mchezaji huyomwenye umri wa miaka
26, anatarajiwa kusafiri hadi London ili kujadiliana
Na klabu hiyo kuhusu malipi yake, kabla ya kufanyika
Kwa uchunguzi wa kiafya.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment