MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG
waziri wa mambo ya ndani DK-Emmanuel Nchimbi ameunda
tume ya watu watano ya kuchunguza kifo cha aliyekuwa mwandishi
wa habari wa chennel ten Bw,Daud Mwangosikilichotokea mkoani Iringa.
hayoyamesemwa na waziri huyo wakati akizungumza na waandishi wa habari
jijini dar es salaam.
waziri huyo ameipa siku 30 tume hiyo kuchunguza kifo hicho kilichotokana na
vurugu za chadema pamoja na jeshi la polisi mkoani huko hivi karibuni.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment