SERGIO AGUERO AMECHUKIZWA NA UPENDELEO WA WAAMUZI
Sergio Aguero anaamini wachezaji raia wa Uingereza hupendelewa na waamuzi, wakilinganishwa na wenzao kutoka ng'ambo.
Mchezaji huyo wa klabu ya Manchester City, na mwenye umri wa miaka 24, alifunga bao la kusawazisha, katika mechi ambayo timu yake iliishinda Fulham magoli 2-1.
Wenzake kutoka Argentina, Pablo Zabaleta na Carlos Tevez, licha ya kudai penalti, maombi yao yalikataliwa na mwamuzi.
MWERA AMAZING BLOG
- Blogger Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)

0 maoni:
Post a Comment