MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

INDIA YAHISABU HASARA BAADA YA KIMBUNGA

Kimbunga Phailin kikipiga Orissa na Andhra Pardesh
Maafisa wa India wanaoshughulika na kazi za uokozi wameanza shughuli zao baada ya Kimbunga Phailin kupiga majimbo ya mashariki na kusababisha mafuriko kwenye miji na vijiji.

Wakuu wanasema wasaidizi wametumwa maeneo yaliyopigwa na kimbunga katika majimbo ya Orissa na Andhra Pardesh, kuwaokoa wale wanaofikiriwa wamenasa chini ya vifusi.

Miti iliyoporomoka imeuwa kama watu saba.


Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment