Maafisa wa India wanaoshughulika na kazi za uokozi wameanza shughuli zao
baada ya Kimbunga Phailin kupiga majimbo ya mashariki na kusababisha mafuriko
kwenye miji na vijiji.
Wakuu wanasema wasaidizi wametumwa maeneo yaliyopigwa na
kimbunga katika majimbo ya Orissa na Andhra Pardesh, kuwaokoa wale
wanaofikiriwa wamenasa chini ya vifusi.
Miti iliyoporomoka imeuwa kama watu saba.
0 maoni:
Post a Comment