MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

SHILOLE . NAWAONA WASHAMBA WANASEMA KUWA NAHARIBU KATIKA SHOW ZANGU

Moja ya mitandao mmoja nchini Tanzania Bongo5, walifanya mahojiano na msanii anayetisha zaidi na kusemwa midomoni mwa watu kwa vitu vyake , si mwengine bali ni Shilole, amefunguka na kusema kuwa anafanya muziki kulingana na mahitaji ya mashabiki wake na si kwa kusikiliza nawazo ya ntu mmoja mmoja yasiyokuwa na manufaa kwenye muziki wake.
Shilole, aliendelea kwa kusema kuwa “ nafanya muziki anaofanya Shilole peke, na wapenzi wengi wa muziki wangu wanafurahishwa ba kitendo cha kuwapandisha vijana na kucheza nao, hii inaleta mzuka kwangu na kwa wapenzi wa Burudani” hayo yalikuwa maneno ya Shilole kupitia mahojiano kati yake na Bongo5.

Hakuishia hapo tu bali aliendelea kufunguka zaidi na kusema kuwa “ Ninavyowapandisha Vijana na kucheza nao huku wakinishika au tumeshikana ndio wanaona hatari ? mbona ni mambo ya ambayo yanafanyika kwenye show mbalimbali , pia ili kuleta uhualisia wa show ni lazima mshikane kidogo kwa wale ambao wanaona kama naharibu ni washamba tu. “ sasa kazi ni kwako wewe unayeona kuwa shilole na mvunjifu wa hali ya hewa.


Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment