Aliyekuwa mke wa Timbaland amefungua
Kesi ya kudai kuachana na Msanii huyo, Pia mama huyo wa mtoto wa miaka 5,na
Timbaland, amedai kuwa anatijai pesa za
matuzo ya mtoto wake na Mtoto wa kufikia wa Timbaland .
Inasemekana
kuwa mwanamama huyo amezaa mtoto mmoja na msanii huyo lakini kabla alishawai
kuwa na mume mwengine ambaye alizaa naye mtoto mmoja mwenye umri wa miaka 10,
lakini mama huyo amesema kuwa anataka matumizi ya mtoto huyo pamoja na Yule wa
Timbaland.
0 maoni:
Post a Comment