MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

WAKAMATWA NA POLISI WAKIUZIANA KIGANJA CHA MKONO WA MTU


Kiganja cha mkono wa mtu, ukimwagika damu.

Mtu mmoja jijini Mwanza anadaiwa kukamatwa na kiganja cha mtu akiwa anajiandaa kumuuzia mteja kwa sh million 100.

Washukiwa walikamatwa karibia na uwanja wa ndege wa Mwanza, wakawapekulia wakakutwa mteja ana 100 million na mganga ana kiganja ambacho bado kibichi kinatoa damu, kina tunguri pia na nywele za binadamu
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment