MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

JOH MAKINI AMEFUNGUKA KUUSU MUZIKI WA HIP HOP KUITWA BONGO FLEVA

Joh Makini: Tatizo Bongo Fleva imekuwa kama bus ambalo kila mtu anaweza kudandia
JOH MAKINI
 Msanii wa Hip Hop, nchini Tanzania , Joh Makini, amesema kuwa hapendi kuona watu wanaodandia mziki wa Hip Hop wakati haweana vipaji vya muziki, ameyaema hayo alipofanyinyiwa mahojiano na TimesFm.

Amesema kua yeye kama msanii wa Tnzania hana tatizo na jina la Bongo Fleva, kwa kuwa ni kitu kizuri na likisimamiwa linaweza kuwa ni kitamburisho cha muziki wa Tanzania , lakini kikwazo kipo kwa wasanii wanaodandia muziki huo.

 Aliendelea kwa kusema kuwa muziki huo umekuwa kama Bus, kila mtu anaweza kudandia, ata kama hana kipaji cha muziki.

Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment