MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

WAZIRI MKUU, HATUJITOI JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI



 
Serikali kupia Waziri mkuu imetoa tamko la kuwa Licha ya mvutano katio yake na baadhi ya nchi za Afrika mashariki lakini haijafikia dhamira ya kutaka kujitoa katika jumuhia hiyo ya Afrika mashariki badala yake wanataka kutatua tofauti zao kwa njia ya kidipromasia kwa lengo la kudumisha uhusiano uliopo.

Waziri mkuu alisema leo Bungeni kuwa , umoja huo unatakiwa kuwa wenye tija kwa wananchi wan chi wanachama na si kwa upande mmoja au nchi moja. Hayo yalikuwa maneno ya waziri mkuu.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment