MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

JUSTIN BIEBER , YUPO KWENYE HATARI KUBWA YA KIAFYA



  Justin Bieber afuata nyayo za Lil Wayne! Anatumia dawa hatari zinazoweza kuondoa uhai wake
Msanii Mdogo mwenye  mafanikio makubwa Justin Bieber, ametajwa kuwa ni miongoni mwa wasanii waliokuwa kwenye hatari kubwa ya kiafya mara baada ya kujiingiza kwenye matumizi ya madawa ya kulevya aina ya Codeine, Promethazine, Jolly Rancher na soda aina ya Sprite, mchanganyikom huo unatengeneza kitu kiitwacho “ SIZZURP” .


Hata hivyo ripoti zilizotelewa na chanzo hicho zinadai kuwa Bieber amekuwa akitumia Sizzurp mara kwa mara lakini kwa tahadhari kubwa.

Mwimbaji huyo mwenye umri wa miaka 19, ameripotiwa kuwa huwa anatumia pia vidonge kama Xanax na kujipigilia pombe na marijuana, lakini hajawahi kabisa kutumia cocaine.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment