Msanii wa Muziki na Muigizaji wa Movie hapa nchini
Shilole, yuko njiani kuachia ngoma yake mpya mwishoni mwa mwezi huu wa kwanza
yani ni tarehe 31. wimbo huo utakwenda kwa jina la “Chuna Buzi.”
Ngoma hiyo imefanyika katika studio za Mazuu Records, na kwa asilimia kubwa ni
kwamba Video ya nyimbo hiyo itafanya na Nisher..
0 maoni:
Post a Comment