Msanii wa muziki wa kizazi kipya Ally Kiba, amekanusha
juu ya wimbo ulitoka hivi karibuni wenye jina la Rosa, na sauti ya msanii huyo,
Kiba alisema kuwa haujui huo wimbo wala hajawai kuimba nyimbo kama
hiyo...............
Ally Kiba, aliendelea kusema kuwa “Nyimbo zipo lakini
sija release nyimbo, sijatoa nyimbo so far na sijui nani ameimba na sijawahi hata
kuusikia.”
Pia alidai kuwa inawezekana kuwa kuna watu waliotumia
sauti yake mara baada ya kuona kuwa yuko kimya kwa muda mrefu sasa kitu ambacho
hakina mantiki, aliendelea kwa kusema kuwa inawezekana kuwa walifanya kwa makusudi
au wametumia sayansi ya sauti na ku-fake sauti yake.
0 maoni:
Post a Comment