Kesi dhidi ya viongozi wanne wa kisiasa nchini Sudan Kusini
ambao wanakabiliwa na mashitaka ya uhaini imeingia siku yake ya pili hii............
Upande wa mashitaka umewataka viongozi saba walioachiliwa
kwa dhamana Januari, ambao kwa sasa wako nchini Kenya pia wafunguliwa mashitaka.
Viongozi hao wanadaiwa kuwa walijaribu kuipindua
serikali ya rais Salva Kiir Disemba mwaka uliopita.
0 maoni:
Post a Comment