
Msanii wa Hip Hop nchini Tanzania Darasa, amefunguka
na kusema kuwa ile film yake iliyotakiwa kutoka mapema imeshindikana kutokana
na watu waliotaka kuipeleka sokoni kushindwa biashara.............
“baada ya kushindwa biashara na watu waliotaka
kuipeleka sokoni, kuna watu ambao walishughulikia hiyo filam na makubaliano,
wakaniambia , bwana una kitu kizuri zaidi cha kufanya na hiyo filam’ nafikiri
walikuwa na mipango ya kuandaa event kubwa halfu hiyo filam izunduliwe kutokana na vitu ambavyo walinielewesha ni
vitu vizuri , mimi nikawaelewa nikaona niwaachie hilo swala na jukumu lote lipo
mikoni mwao” hayo myalikua maneno ya Darasa.
0 maoni:
Post a Comment