MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

MSOMALI ALIYECHEZA FILM YA CAPTAIN PHILIS AMEPATA SHAVU JIPYA, JE WAJUA...... BOFYA HAPA,,,



 Msomalia aliyeigiza kwenye filamu ya
Raia wa nchini Somalia aliyecheza Film ya Captain Philips, amepata shavu jipya baada ya kuonekana kwenye Film ya Captain Philips, sasa atacheza Movie mpya nchini Afrika Kusini............


Barkhad Abdi ambaye mbali na mkwanja mrefu alioingiza kupitia filamu ya Captain Phillips aliyoigiza kama mkuu wa haramia, aliwahi kulipwa kiasi cha dola 65,000 baada ya kuwekwa kwenye orodha ya waigizaji wanaowania tuzo za Oscar, bado ameonekana akiweweseka kiuchumi japo hajafikia hali ile aliyotoka nayo Somalia.

Abdi ameweza kupata nafasi nyingine ya kuigiza katika filamu kubwa kama mwanariadha mkongwe wa Afrika Kusini, Willie Mtolo  ambayo inaitwa ‘The Place That Hits The Sun, na huenda hiyo ikamuokoa kutoka kwenye msoto.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment