Jeshi la polisi Mtwara, limetoa ripoti ya kuzama kwa
Mtumbwi uliobeba watu 26, na kusababisha vifo vya watu watatu na wengine
waliokua kwenye ajali hiyo wamefikishwa hospital kwa matatibabu zaidi...........
Taarifa zianasema kuwa mtumbwi huo ulikuwa ukifanya
safari yake kutoka Ng’wela na kwenda ng’ambo ya pili, ambopo kabla yakufika
kwenye kituo chao mtumbi huo ulizidiwa na upepo na mvua kali iliyosababisha
kuzama kwa mtumbwi.
0 maoni:
Post a Comment