Maafisa wanaosaidia katika harakati za kuitafuta ndege
ya Malaysia ya MH370 iliyopotea majuma tatu yaliyopita , wametangaza kuwa
wanabadilisha eneo la kuitafuta mabaki ya ndege hiyo...............
Eneo hilo
jipya litakuwa kilomita elfu moja mia moja kazkazini mashariki mwa kusini mwa
bahari hindi.
Mamlaka ya usalama wa baharini nchini Australia imesema kuwa hatua hiyo inatokana na
taarifa muhimu na utafiti wa Malaysia
pamoja na matokeo ya utafiti wa rada ya ndege hiyo iliyotoweka.
Eneo inakotafutwa ndege ya Malaysia |
0 maoni:
Post a Comment