MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

TAZAMA PICHA ZA OMMY DIMPOZ, AKIWA CHINI YA ULINZI MKALI WA POLISI WA NCHINI UINGEREZA



 Screen Shot 2014-03-13 at 4.02.45 PM
Msaniimwa hapa nyumbani Ommy Dimpoz, yupo nchini Uingereza, huko amekwenda kufanya Video yake mpya ambayo itaongozwa na yule Dir- aliyewai kufanya kazi na wasanii wakubwa kama vile Fuse ODG, Davido na Wizkid, sasa ni Ommy Dimpoz.......................


Katika Video hiyo kuna vipande ambavyo vinamuonesha akiwa chini ya ulinzi mkali wa polisi wa nchini Uingereza, hii ni yakwanza kufanyika kwa wasanii wa Tz.
 Screen Shot 2014-03-13 at 4.03.03 PM
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment