Mmoja kati ya waigizaji wakuu katika movie ya Captain
Philips, kutoka Afrika nchini Somalia, Barkhad Abdi, inadaiwa kuwa ni mmoja
kati ya watu waliocheza Movie yenye jina kubwa lakini yeye akibaki mfuko empty..............
Msanii huyo alilipwa kiasi cha dola 65,000. ambazo ni
sawa na Tsh mil 100, lakini kwa sasa inadaiwa kuwa amebaki empty kabwela.
Kwa sasa inadaiwa kuwa mpaka nguo alizoziva katika
tuzo za Oscar zilikuwa ni za mkopo, na kipindi chote alichokaa nchini Marekani
kwaajili ya Tuzo hizo ni ile kampuni aliyofanya nayo kazi ndio ilimsaidia kukaa
katika Hoteli Los Angeles.
0 maoni:
Post a Comment