MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

JE WAJUA KUWA FORBES IMETOA LIST YA WASANII WENYE PESA ZAIDI DUNIANI…. TAZAMA HAPA NA UWAJUE. “TANO BORA”


1
P Diddy, namba [1] ameshika namba kwa kuwa na mkwanja wa kutosha kabisa, Revolt TV anayomiliki P Diddy ambayo imeanza kwa kasi kubwa ndiyo biashara  inayosemekana kuwa inaweza kumfanya Diddy kuwa bilionea wa kwanza kwenye HipHop.

 Kuna wasanii wengi wenye pesa zaidi Duniani kupitia kazi za muziki wao, lakini hawa wanaonekana kuvunja rekodi ya kuwa na mkwanja mnene zaidi duniani, embu tumia dakika zako chache kuwajua …………

2
Namba [2] ni ya producer na msanii Dr Dre ambaye ana utajiri wa dola za kimarekani millioni 550.
3
Namba [3] inaenda kwa Jay Z utajiri wake ni dola za kimarekani millioni 520.
4
Namba [4] ni ya boss wa YMCMB ‘Birdman’ utajiri wake ni dola za kimarakani millioni 160
5
Namba [5] inamilikiwa na 50 Cent ambaye utajiri wake ni dola za kimarekani millioni 140

Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment