MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

WATU KADHAA WAUAWA NCHINI SUDANI



 
Watu kadhaa wameuawa wakati wa jaribio la wizi wa Ng'ombe katika jimbo la Warrap nchini Sudan Kusini..............


Afisa mmoja katika eneo hilo Paul Dhel Gum ameviambia vyombo vya habari kwamba takriban watu 28 wameuawa.

Amesema kuwa polisi wamewaua wavamizi wengi.
 
Uvamizi huo ulitekelezwa katika eneo la mashambani la jimbo la Warrap siku ya alhamisi ,na kwamba hakuna maelelzo zaidi.

Haijulikani iwapo mauaji hayo yanashirikishwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe kati ya serikali ya Sudan kusini na waasi walio watiifu kwa aliyekuwa makamu wa rais Riek Machar.
Kutoka BBC
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment