MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

DIAMOND PLATNUMZ " NASIKITISHWA NA WATU WANAOVUJISHA NYIMBO ZANGU, HII NYIMBO BADO SIJAITOA, LAKINI NAISIKIA KWENYE MITANDAO.



 DIAMOND Platnumz, amesikitishwa na baadhi ya watu waliovujisha Wimbo wake ambao haukuwa tayari kutoka, kupitia akaunti yake ya Instagram, Platnumz, alifunguka na kusema..........


“Moja ya nyimbo zangu ambazo ziko store hazija toka nimeikuta mtandaoni na sijui imefikaje, tena ikiwa kwenye mfumo wa Voicenote, yaani haina quality kabisaa... Tafadhari, kwa yoyote atakaeipata Asiitumie kwenye media ama hadhara, kwasababu Haijatoka na haiko Qualified....” "KITORONDO" hii ndio jina la wimbo uliovujishwa.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment