Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva Nchini, Diamond
Platnumz, anaendelea kufanya vizuri zaidi kupitia sanaa ya muziki, kitu kingine
ni kwamba ile Collabo yake na Iyanya Ameifanyia Bonge La Video, ambalo
limegharimu mkwanja mwingi sana........
Meneja wake alifunguka kama ifutavyo ‘‘video
tuliyofanya na Iyanya Uingereza ni kwa sababu tulikua tunamuhitaji Director MoE
Musa ambae anaishi na kufanya kazi zake Uingereza ndio maana tukasafiri mpaka
huko, kuna video ambayo tutafanya Nigeria tukishatoka Ghana na pia ikitokea
kwamba tunatakiwa kufanya video Tanzania tutafanya hivyo’
0 maoni:
Post a Comment