MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG

MWISHO MWAMPAMBA NI BABA KWA MARA NYINGINE, JE UNAYAJUA MAJINA YA WATOTO WAO.



 
Mwisho Mwampamba ni Baba kwa mara nyingine tena na yule aliyekuwa mshiriki mwezake BBA, Mery wa nchini Namibia Wamejipatia mtoto wa pili.....................


Mwisho ambaye kwa sasa ni mtangazaji wa kipindi cha Tv, moja hapa nchini alifunga ndoa na Mery mnamo mwaka 2011, na kupata mtoto wao wa kwanza wa kike mwaka 2012.

Wawili hao kila mmoja alimkuta mwenzie akiwa na mtoto tayari na kupelekea wapendanao hao kuwa na idadi ya watoto wane.

Majina ya watoto wao wawili yanashangaza watu kwa kuwa ya kipekee kabisa, yani mmoja anaitwa “Monkey” na mwengine anaitwa Happy Feet”.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment